WAFANYAKAZI WA GREE WESTPRO KATIKA UCHANGIAJI WA DAMU
Wafanyakazi wa Green WestPro waichangia damu Hospitali ya Muhimbili
Wafanyakazi
wa Green WestPro wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Afisa Ustawi wa
Jamii wa Hospitali ya Muhimbili, Erica Ishengoma kabla ya kuanza zoezi
la kutoa damu.
Meneja Mkuu wa Green WestPro, Allan Sudi akipewa maelekezo kabla ya kupima uzito.
Meneja Mwendeshaji wa Green WestPro, Abdallah Mbena akipima uzito kabla ya kutoa damu.
Afisa
Ustawi wa Jamii wa Hospitali ya Muhimbili, Erica Ishengoma akichukua
taarifa za Meneja Mkuu wa Green WestPro, Allan Sudi kabla ya kuanza
kutoa damu.
Meneja Mkuu wa Green WestPro, Allan Sudi akifanyiwa maandalizi ili kuanza kutoa damu, na picha ndogo ya mkono wake akitoa damu.
Zoezi la kutoa damu kwa Meneja Mkuu wa Green WestPro, Allan Sudi likiwa limekamilika.
Wafanyakazi wengine wa Green WestPro wakichangia damu
No comments:
Post a Comment